Powered By Blogger

Tuesday 19 July 2011

SYNDROME DE LA MAILIOSE, QUID?

DEFINITION:

En correspondance administrative, le rédacteur est symptomatique ou malade du Syndrome de la Mailiose (ou d'Emailiose) lorsqu'il(elle):

1. cultive en lui cette audance d'écrire des mails quand çela ne vaut pas la peine;

2. copie des personnes qui ne sont pas directement concernés par la correspondance;

3. a l'habitude de transmettre, intentionnellement, des messages dont les contenus sont de nature à attiser la haine entre collegues de service;

4।il écrit le message dont l'objet pour lequel écrit trouverait une solution, meme en se communiquant verbalement;


REMEDES

1. Esprit d'équipe ou professionnel

2. Culture des notions de correspondance administrative.

3. Compassion ( car en copiant les plus hautes autorités hiérarchiques, dans des mails, d'aucuns ont tendance à porter les destinataires sous un faux jour, bref ils ont tendance à faire une mauvaise campagne contre leurs collègues).

4. Evitement de meler le patron dans les affaires collegues-collègues.

5. Conformité aux normes administratives.

6. Ne répondre qu'après examen munitieux de la correspondance(pas à la hate)

7. ne pas répondre aux banalité par des banalités( soyez raisonnable).


Pouvez-vous en ajouter d'autres?......

Thursday 14 July 2011

KWA NINI SI VIZURI KUTUMIA DAWA ZA ASILI KABLA YA KUONA MGANGA?

Dawa za asili ni nzuri sana kwa kutiba magonjwa mengi. Tangu myaka mingi iliyopita katika historia ya wanaadamu, matumizi ya dawa za asili ilikuwa njia mojawapo iliyowasaidia wagonjwa kadhaa. Hata kwa wakati wetu,  dawa tunazoita za kizungu zinapoonekana hazitendi, wagonjwa wengi wanapata matibabu wakitumia majani ama dawa za asili.

Lakini tungejibu kwenyi swali hii: je dawa za asili ni nzuri kwa matibabu? Ni kweli jibu inaweza kuwa ndio lakini tunapaswa kujuwa kwamba kwa njia moja ao jingine dawa za asili zisipotumiwa kwa njia inayo sawazika, zinaweza kuwa sumu kwetu. Kwa hiyo, tutafaya vema ikiwa tutajikaza kutumiya dawa kiisha kuwaona waganga ama madaktari (wanaojulikana kiserkali) kwa sababu kuna alama za magonjwa zinazofanana. Kwa mfano, inajulikana, na hata kisayansi,  kwamba mtu anaweza fikiria amekuwa na tumia dawa za kutunza mafuwa anapotowa makamasi. Lakini tusisahau kwamba kuna magonjwa megine kama vile magonjwa fulani ya maini(liver katika lugha ya kiingereza) inaweza kuwa chanzo cha kutoa makamasi. Pia, kuna wale ambao wanaouguwa ugonjwa unaoitwa gastrite(kifaransa ama gastritis kwa lugha ya kiingereza). Wengi kati yao wanafikiria kwamba walipewa sumu. Kwa hiyo, wamoja wanatumiya madawa za kutapikisha sumu bila kupimwa wakifikiria kwamba watajiepusha na matokeo mabaya ya sumu. Lakini, kwa mshangao, wanaendelea kuuguwa kwa sababu wapowana jiwekya akiba ya madawa yasiyo faa mwilini kiisha yanawaletea shida. Ndiyo maana tunahitaji uangalifu mbele ya yote.

Watu wengi wanajikuta wamekuwa wagonjwa saana kwa sababu yakutumiya dawa za asili kwa njia isiyofaa.

Na waganga wengi wamewapa wagonjwa madawa za asili bila kufikiria chemical properties zinazoweza kuwa ndani yazo,  shauri za kiganga, kwa vyovyote bila uangalifu.

Tukifikiria mambo ambayo tunatoka  kuzungumzia, tutafanya matibabu kupitia dawa za asili kuwa moja wapo ya njia nzuri kwakutunza afya yetu na ya jamii.